Onyo La Maangamizi Yanayokuja

2Bwana asema,

“Nitafagia kila kitu

kutoka kwenye uso wa dunia.”

3“Nitafagilia mbali watu na wanyama;

nitafagilia mbali ndege wa angani

na samaki wa baharini.

Wafanyao maovu watapata tu kokoto,

nami nitamkatilia mbali mwanadamu atoke katika dunia,”

asema Bwana.